TANGAZO LA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KWA MWAKA WA MASOMO 2025/2026
- Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Uhifadhi wa Maliasili kwa Jamii (CBCTC) - Likuyu Sekamaganga anapenda kuwajulisha wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Chuo kwa mwaka wa masomo 2025/2026.
- Waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti Chuoni jumatatu tarehe 03 Novemba 2025 kwa ajili ya usajili na kuanza masomo. Kwa wanafunzi wanaoendelea wanatakiwa kuripoti Chuoni jumapili tarehe 9 Novemba 2025 kwa ajili ya usajili na kuanza masomo jumatatu tarehe 10 Novemba 2025.
Kuona majina pakua TANGAZO LA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO 2025-2026-1.pdf